$350 Samsung galaxy Ace plus mpyaaaaaa
Ahsante muanzisha mada.
Mkuu Mbimbinho, Binafsi nilikuwa nataka kununua Samsung Galax S II nilipata bei hizi 1,200,000/= ( Mlimani City), 650,000/= (Kaliakoo) na 800,000-750,000/= (maeneo ya Posta mpya-DSM). Nilishindwa kujua utofauti huu wa bei una tokana na ubora wa simu (material+technology used) au idadi ya applications za simu hiyo. nilijaribu kuwadadisi wauzaji, majibu yao haya kunilidhisha.
Mkuu Mbimbinho, bado nina nia ya kununua simu hiyo. Ombi langu kwako ni "" naomba mbinu nitakazotumia kujua kuwa simu ninayonunua ni guanine na ina specifications zote zilizokatika link hii>>>> Samsung GALAXY S II pia bei iwe halisi, isiwe kuruka""
$350 Samsung galaxy Ace plus mpyaaaaaa