tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,864
- 3,851
"Kuna watu walikuwa wanaishi kama malaika, ni lazima tuwashushe waishi kama mashetani"
Rais John Pombe Joseph Magufuli, Machi 2016.
Wote tunajua kuwa kuishi kama malaika ni kuishi maisha mazuri, tulivu yenye amani, furaha, raha na bila dhambi yaani utakatifu wa kimungu. Na kuishi kama shetani ni kuishi ndani ya shida, maovu na dhambi za kila aina kama uongo, wizi, uzinzi, tamaa, utapeli, ufisadi, rushwa, dhiki, magonjwa, mabalaa na kila aina ya mabaya.
Unapokuwa kiongozi, hasa kiongozi mkuu wa nchi inakubidi uchunge sana kauli zako, kwani zinaweza kupoteza maana halisi na kuleta mkanganyiko.
Rais John Pombe Joseph Magufuli, Machi 2016.
Wote tunajua kuwa kuishi kama malaika ni kuishi maisha mazuri, tulivu yenye amani, furaha, raha na bila dhambi yaani utakatifu wa kimungu. Na kuishi kama shetani ni kuishi ndani ya shida, maovu na dhambi za kila aina kama uongo, wizi, uzinzi, tamaa, utapeli, ufisadi, rushwa, dhiki, magonjwa, mabalaa na kila aina ya mabaya.
Unapokuwa kiongozi, hasa kiongozi mkuu wa nchi inakubidi uchunge sana kauli zako, kwani zinaweza kupoteza maana halisi na kuleta mkanganyiko.