Nyumba yangu ni kubwa ya 4 bedrooms. tuko watatu tu. chumba kimoja kiko wazi. naweza kukuweka kama paying guest. kuna kitanda na tv. kama uko interested, nijulishe hapa then nitakupigia for further discussions.
UOTE=emilwayne;3137344]Serious natafuta room mate wakike niwe na share chumba moja na mm nipo chuo, plz kama haupo seriou usijishuhulishe na hapa.. Namba yangu ni 0755243224[/QUOTE]
Anaegawa akili kwa binadamu ana upendeleo sana. Nadhani wewe ulipewa kb 3 za akili. Chuo husemi, kwa nini unahitaji mate husemi, aina ya mate (wanafunzi au yeyote) husemi. Sasa wewe ni mwanafunzi wa aina gani usiweza kujieleza. Au umetokea sayari nyingine?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.