Hivi ikiwa mpya bei gani?
Mkuu bado unayo au umeshaiuzapm mkuu nikuuzie 4922 original kwa bei poa
Mwanza kuna jama anazo mpya anauza laki3Mkuu bado unayo au umeshaiuza
Mwanza kuna jama anazo mpya anauza laki3
Mkuu bado unayo au umeshaiuza
Sawa Mkuu nitakutafutaNinazo mkuu wala si moja,mzigo ni wa kutosha