miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Truth is
pain ........umeninong'onerza wewe mimi nilikuwa sijui
Truth is
no dinner today i want my finger to have a ring
Thanks Miss wangu kwa detailed clarification
Kama ni rafiki tu kwa nini unatafuta wa kiume? Ina maana sie wa kike huwez kubadilishana mawazo na sisi?
Kama ni rafiki tu kwa nini unatafuta wa kiume? Ina maana sie wa kike huwez kubadilishana mawazo na sisi?
asante mr mkali
I am sure gonna put a ring on it today,zege hailali
and if u do so i will put natural ring to one finger but i will leave with it
I don't like this name
Hahahaha aya bwana lmao
sawa mkuu walaji ni wengi humu huwa wanapinga hakuna urafiki wa kike na mwanaume......queeny kama kuna ambaye umevutiwa nae tuma pm... ila uwe makini isijeikawa mbuzi kafia kwa mppika supu uachwiNadhani nijinsi gani upo katika mahitaji ya mwanaume ila ujafanya kosa kwani umeeleza unachokifikira mwenyewe mimi naomba nikuulize je wewe una umri gani je wewe Elimu yako niipi je wewe unafanya kazi?
Zaidi ya hapo angalia maelezo yakila aliyecomment na uyatafakari tuma PM lakini kama nikukusanya PM za watu walizotuma ujue utaondoka na koroma!Kwa heri kwa leo yangu ni hayo queeny ila miss chagga naomba nawewe umpe angalizo!
okey sorry
ha ha ha ha tusiharbu uzi wa watu anataka rafiki
Nadhani nijinsi gani upo katika mahitaji ya mwanaume ila ujafanya kosa kwani umeeleza unachokifikira mwenyewe mimi naomba nikuulize je wewe una umri gani je wewe Elimu yako niipi je wewe unafanya kazi?
Zaidi ya hapo angalia maelezo yakila aliyecomment na uyatafakari tuma PM lakini kama nikukusanya PM za watu walizotuma ujue utaondoka na koroma!Kwa heri kwa leo yangu ni hayo queeny ila miss chagga naomba nawewe umpe angalizo!