Mimi ni mdada, Natafuta rafiki wa kuchat naye, iwe serious + fun chating, kubadilishana mawazo na kupeana idea tofauti za kimaisha zaidi.
Awe na umri kuanzia miaka 30 na kuendelea popote pale! Atakayependa aniPM!
Karibu!
1. Weka picha yako
2. Kazi unayofanya na Kipato chako
3. Unaishi wapi na ni kwa nani
REASON:
Unaweza kuanza kuchat na mtu mara upande wa pili mtu akaKANUMBA a.k.a brain concussion!