Ziada
Member
- Dec 27, 2013
- 82
- 17
Mimi ni msichana mwenye miaka 23 najishughulisha na biashara ndogondogo natafuta rafiki wa karibu wa kiume baadae mungu akipenda aje kuwa mume wangu
Sifa
*Awe ana umri kuanzia miaka 25 mwisho 30
*kabila asiwe mtu wa mara, wandengeleko wala wazaramu yaliyobakia sawa
*asiwe mnene wala mwembamba sana
*elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea
*awe muajiriwai au mjasiriamali
*dini awe mkristo madhehebu yote isipokuwa wasabato.
*awe anaishi dar es slaam
Sifa
*Awe ana umri kuanzia miaka 25 mwisho 30
*kabila asiwe mtu wa mara, wandengeleko wala wazaramu yaliyobakia sawa
*asiwe mnene wala mwembamba sana
*elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea
*awe muajiriwai au mjasiriamali
*dini awe mkristo madhehebu yote isipokuwa wasabato.
*awe anaishi dar es slaam