mimi ni msichana mwenye miaka 23 najishughulisha na biashara ndogondogo natafuta rafiki wa karibu wa kiume baadae mungu akipenda aje kuwa mume wangu
sifa
*awe ana umri kuanzia miaka 25 mwisho 30
*kabila asiwe mtu wa mara, wandengeleko wala wazaramu yaliyobakia sawa
*asiwe mnene wala mwembamba sana
*elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea
*awe muajiriwai au mjasiriamali
*dini awe mkristo madhehebu yote isipokuwa wasabato.
*awe anaishi dar es slaam
aliyekuwa tayari tuwasiliane kwenye email hii
shaninandala7@gmail.com