Natafuta Rafiki wa kiume

Natafuta Rafiki wa kiume

Duh sijui kile kitufe cha kurudisha Umri nyuma kimewekwa wapi maana Namkosa mrembo hivi hivi above 30.
 
Jamani kuna watu humu kila inapotoka post ya mtu anataka mchumba au mume na yeye yupo,sasa sielewi kote hawajawahi kukubalika au lah?????
 
Bila shaka hautizamiki marambili, laiti kama ungekuwa nakamvuto ungekuwa tayari unamtu, kama nakusingizia weka picha tukuone


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
hivi kwanini sie WASABATO mnatutenga sana..! ??
 
Aiyaaaa, kipengele cha dini kimenukosesha mke, daaah, legeza msharti mamaa upate mume.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Bila shaka hautizamiki marambili, laiti kama ungekuwa nakamvuto ungekuwa tayari unamtu, kama nakusingizia weka picha tukuone


Sent from my iPhone using JamiiForums

Acha dharau wewe.
 
Mimi ni msichana mwenye miaka 23 najishughulisha na biashara ndogondogo natafuta rafiki wa karibu wa kiume baadae mungu akipenda aje kuwa mume wangu

Sifa

*Awe ana umri kuanzia miaka 25 mwisho 30

*kabila asiwe mtu wa mara, wandengeleko wala wazaramu yaliyobakia sawa

*asiwe mnene wala mwembamba sana

*elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea

*awe muajiriwai au mjasiriamali

*dini awe mkristo madhehebu yote isipokuwa wasabato.

*awe anaishi dar es slaam

Aliyekuwa tayari tuwasiliane kwenye email hii
shaninandala7@gmail.com

Loh, ina maana sina kigezo hata kimoja!!
*Nimezidi miaka 30
*Mimi mtu wa mara na ninakula ugali wa mtama nyama na maziwa tu.
*Mimi mwembamba sana
*Nliishia darasa la saba.
*Mimi mishen town tu, lakini si haba vijisenti vipo vinautosha ukoo wetu wote.
*Dini sina kabisaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom