Natafuta rafiki wa kiume

Natafuta rafiki wa kiume

Mule mule ngoja nikujie huko fesibuku
 
Siko honest kivipi wakati nshakuchungulia FB na mawani yako? We u mrembo wa haja asikuambie mtu.

Hujajibu swali langu, urafiki unaoutaka hauna mipaka hata kwa mimi niliye na mke?

ulivyo mpana umeshaenda kumchungulia FB lol......ila mie nakuangalia tu
 
Najijua najitambua Niko OK urafiki uko wa aina nyingias long una mke utakuwa wa kaka na dada hauna mipaka

bi dada umetokaje na miwani yako face book, haya ongeza promo naona mda wa kuopoa umekaribia. dah! mm vigezo sina unavyotaka
 
Haikuhusu relation ship yangu huijui na nani

sasa dada yng mbona ww ndio unaomba urafiki alf ww ndio unawakwaza watu? hili ni jukwaa la GT lazima watu wajue ni rafiki wa namna gani unayeomba urafiki usije kua ni jinni, ila kwa majibu yako yawezekana kabisa wewe ni nyonya damu ptyuuuuuuuuu
 
Mimi pia natafuta rafiki wa kike ambaye tukielewana baadaye awe mama watoto wangu, sifa zake:
  1. Awe mcha Mungu
  2. Mpole sio mapepe
  3. Asiwe tegemezi kama wengine
  4. Umri usiwe zaidi ya miaka 32, kupungua ruhsa
  5. Sifa nyinginezo, awe mrembo kama huyu:
 

Attachments

  • mchumba wangu.jpg
    mchumba wangu.jpg
    29.9 KB · Views: 255
Uxiusemee moyo wangu kuwa na marafiki wengi we kunakupa shida mbona unakiherehere name maisha ya wenzako niwe desperate au nisiwe unawashwa na mini mbona we na yako umeyakalia

Naona the truth hurts.. Hilo povu, dah,
 
Tyta ulimkamia huyu mbibi kwenye hii thread, lakini msamehe bure siunajua tena mtu akizeeka anavyokuwa
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom