Natafuta rafiki wa kiume

Natafuta rafiki wa kiume

Kwanza rafiki tukifaana ataja Kuwa mchumba then tukishibana had I kifo

Kwa mantiki hiyo majority hapa JF hawatakufaa! Tumekwishakuoa na hakuna serengeti boy mwenye umri kati ya miaka 35 - 45! Pls change friendship requirements hasa umri, say miaka 18 - 30.
 
Kwa mantiki hiyo majority hapa JF hawatakufaa! Tumekwishakuoa na hakuna serengeti boy mwenye umri kati ya miaka 35 - 45! Pls change friendship requirements hasa umri, say miaka 18 - 30.
Usiusemee moyo wa wenzako name siwezi kubadilisha kwa Kuwait we we so wao thanx
 
yaani kaka una haraka kweli,

hata huo urafiki haujakubaliwa,

tayari ushaanza masharti yako ya kupima HIV, weye vipi?

Humu jf neno HIV likitajwa tu watu wanafunga hiyo siredi na kwenda kwingine.! Why??! We need to take it as a normal thing then unyanyapaa utapungua na kueneza zaidi kutapungua.
 
Humu jf neno HIV likitajwa tu watu wanafunga hiyo siredi na kwenda kwingine.! Why??! We need to take it as a normal thing then unyanyapaa utapungua na kueneza zaidi kutapungua.
Sidhani km kutajwa sana kwa HIV kunamaanisha if u really care take an action name yule uliyena mahusiano nae otherwise haisaidii
 
bt fb unamarafiki wengi sana....it seems you are so desperate...i believe bila hata kutangaza hapa hao wa fb unaweza pata a real and gud friend.huku wengi are not serious yet with fake ID's.
 
Natafuta rafiki wa kiume umri wa miaka 37 - 45 awe mfanyakazi au biashara mcha mungu mkristo mweusi mrefu kiasi miaka yangu 37 mjasilia Mali ukitaka kuniona nifuate Facebook search for faithcolly utsniona mengi tutaongea tukikubaliana nataka rafiki anayejitambua kwa umri huo name imani atakuwa Ametulia kifkra .if u want to be honest be true!

Naona waume za watu nafasi iko wazi hapa. Si urafiki tu? Hebu twende PM tukajaribu bahati zetu. Mke wangu si mkali kiviiiile.
 
bt fb unamarafiki wengi sana....it seems you are so desperate...i believe bila hata kutangaza hapa hao wa fb unaweza pata a real and gud friend.huku wengi are not serious yet with fake ID's.
Uxiusemee moyo wangu kuwa na marafiki wengi we kunakupa shida mbona unakiherehere name maisha ya wenzako niwe desperate au nisiwe unawashwa na mini mbona we na yako umeyakalia
 
Tatizo hauko honest undo maana utakuja

Siko honest kivipi wakati nshakuchungulia FB na mawani yako? We u mrembo wa haja asikuambie mtu.

Hujajibu swali langu, urafiki unaoutaka hauna mipaka hata kwa mimi niliye na mke?
 
Uxiusemee moyo wangu kuwa na marafiki wengi we kunakupa shida mbona unakiherehere name maisha ya wenzako niwe desperate au nisiwe unawashwa na mini mbona we na yako umeyakalia

Punguza ukali basi mama. Twende mdogo mdogo.
 
Najijua najitambua Niko OK urafiki uko wa aina nyingias long una mke utakuwa wa kaka na dada hauna mipaka
 
Najijua najitambua Niko OK urafiki uko wa aina nyingias long una mke utakuwa wa kaka na dada hauna mipaka

Orayt, nakuhakikishia hapa umenipata rafiki mwema kabisa. Twende PM tukaweke nadhiri na kula kiapo cha urafiki wetu

Maadam ushanipata naomba uwaambie hao wakware nafasi imejaa na thread imefungwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom