Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,810
- 623
Mhhh, hapo kwenye acc napata wasiwasi au ndiyo unataka kumalizia kibanda chako kule Machame?
haaaah haaaah huyu atakua mpalestina
Mhhh, hapo kwenye acc napata wasiwasi au ndiyo unataka kumalizia kibanda chako kule Machame?
Vigezo.
Rangi-mweupe
urefu-5.7 to 6.1
Dini-mkristo
elimu-kuanzia degree
Kabila-any
umri-27-38
mengineyo,awe mwenyetabia za kiume mwenye upendo na biashara.asiwe na chini ya milion 10 kwenye acc ingawa sintazihitaji.mcheshi,mkweli,anayempenda mungu nakuzishika amri zake.asiye kunywa pombe wala kuvuta sigara.
Only a friend mambo mengine mbele ya safar.
Ni pm plz kama uko na vigezo na ur intrsted.
Vigezo.
Rangi-mweupe
urefu-5.7 to 6.1
Dini-mkristo
elimu-kuanzia degree
Kabila-any
umri-27-38
mengineyo,awe mwenyetabia za kiume mwenye upendo na biashara.asiwe na chini ya milion 10 kwenye acc ingawa sintazihitaji.mcheshi,mkweli,anayempenda mungu nakuzishika amri zake.asiye kunywa pombe wala kuvuta sigara.
Only a friend mambo mengine mbele ya safar.
Ni pm plz kama uko na vigezo na ur intrsted.
Hapa kwenye RED una maanisha nini sweetie? Unataka mzungu? na hii 10m ya nini kama hui hitaji? mbona unajikanganya? inaonekana wewe unatafuta ATM.
Bibie ni mpHaa jaman nimesema rafiki na hizo pesa siziitaji mm na wala sio mpalestina.hapa anatafutwa mmoja tu tena nadhan atanielewa yy!wengine msiogope.tunatakiwa kuendana kila kitu hata mawazo yatakua sawa!
Vigezo.
Rangi-mweupe
urefu-5.7 to 6.1
Dini-mkristo
elimu-kuanzia degree
Kabila-any
umri-27-38
mengineyo,awe mwenyetabia za kiume mwenye upendo na biashara.asiwe na chini ya milion 10 kwenye acc ingawa sintazihitaji.mcheshi,mkweli,anayempenda mungu nakuzishika amri zake.asiye kunywa pombe wala kuvuta sigara.
Only a friend mambo mengine mbele ya safar.
Ni pm plz kama uko na vigezo na ur intrsted.
Vigezo.
Rangi-mweupe
urefu-5.7 to 6.1
Dini-mkristo
elimu-kuanzia degree
Kabila-any
umri-27-38
mengineyo,awe mwenyetabia za kiume mwenye upendo na biashara.asiwe na chini ya milion 10 kwenye acc ingawa sintazihitaji.mcheshi,mkweli,anayempenda mungu nakuzishika amri zake.asiye kunywa pombe wala kuvuta sigara.
Only a friend mambo mengine mbele ya safar.
Ni pm plz kama uko na vigezo na ur intrsted.
kweli watu wamefulia? mnakosa m 10?