MjitaMweusi
Senior Member
- Aug 20, 2014
- 115
- 53
Hapo kwenye pombe hapo ndo shida
Habari za majukumu,
Naamini nyote mpo salama, natafuta tafiki wa kiume mwenye hofu ya Mungu, anayejua na kujali thamani ya mtu asiwe mlevi wa pombe wala sigara wala wanawake, awe mkristo. Mwenye elimu walau ya secondary, mfanyakazi serikalini au mashirika.mwenye uelewa wa maisha na mpambanaji, awe mrefu, mng'avu kidogo , mwenye muonekano mzuri, umri kuanzia miaka 30 hadi 40.
Wasifu wangu, mimi nimemaliza chuo ,ni mfanya kazi, field ya Afya.umri wangu ni 29 . Nahitaji rafiki wa Dhati.
Njoo DM
0625784125Habari za majukumu,
Naamini nyote mpo salama, natafuta tafiki wa kiume mwenye hofu ya Mungu, anayejua na kujali thamani ya mtu asiwe mlevi wa pombe wala sigara wala wanawake, awe mkristo. Mwenye elimu walau ya secondary, mfanyakazi serikalini au mashirika.mwenye uelewa wa maisha na mpambanaji, awe mrefu, mng'avu kidogo , mwenye muonekano mzuri, umri kuanzia miaka 30 hadi 40.
Wasifu wangu, mimi nimemaliza chuo ,ni mfanya kazi, field ya Afya.umri wangu ni 29 . Nahitaji rafiki wa Dhati.
Njoo DM
😂Nakuja bibie weeeee.......why uishi Peke yako wakati hata shetani kashindwa kufanya dhambi mwenyewe
Naona sifa zote nnazo, nitumie picha in box.Habari za majukumu,
Naamini nyote mpo salama, natafuta tafiki wa kiume mwenye hofu ya Mungu, anayejua na kujali thamani ya mtu asiwe mlevi wa pombe wala sigara wala wanawake, awe mkristo. Mwenye elimu walau ya secondary, mfanyakazi serikalini au mashirika.mwenye uelewa wa maisha na mpambanaji, awe mrefu, mng'avu kidogo , mwenye muonekano mzuri, umri kuanzia miaka 30 hadi 40.
Wasifu wangu, mimi nimemaliza chuo ,ni mfanya kazi, field ya Afya.umri wangu ni 29 . Nahitaji rafiki wa Dhati.
Njoo DM
Wenzio wanataka chura kama huna unapoteza muda wako mwisho utaambulia kupitiwa tuMimi sifugi chura