Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 1,831
- 3,063
Sasa kama unatafuta rafiki kwanini uweke vigezo na uwatenge wengine wasiokuwa na vigezo hivyo
Mimi sifugi chura
Habari za majukumu,
Naamini nyote mpo salama, natafuta tafiki wa kiume mwenye hofu ya Mungu, anayejua na kujali thamani ya mtu asiwe mlevi wa pombe wala sigara wala wanawake, awe mkristo. Mwenye elimu walau ya secondary, mfanyakazi serikalini au mashirika.mwenye uelewa wa maisha na mpambanaji, awe mrefu, mng'avu kidogo , mwenye muonekano mzuri, umri kuanzia miaka 30 hadi 40.
Wasifu wangu, mimi nimemaliza chuo ,ni mfanya kazi, field ya Afya.umri wangu ni 29 . Nahitaji rafiki wa Dhati.
Njoo DM
Ayiiii ulikuwa wapi? nmetoka kuoa jana tu....Habari za majukumu,
Naamini nyote mpo salama, natafuta tafiki wa kiume mwenye hofu ya Mungu, anayejua na kujali thamani ya mtu asiwe mlevi wa pombe wala sigara wala wanawake, awe mkristo. Mwenye elimu walau ya secondary, mfanyakazi serikalini au mashirika.mwenye uelewa wa maisha na mpambanaji, awe mrefu, mng'avu kidogo , mwenye muonekano mzuri, umri kuanzia miaka 30 hadi 40.
Wasifu wangu, mimi nimemaliza chuo ,ni mfanya kazi, field ya Afya.umri wangu ni 29 . Nahitaji rafiki wa Dhati.
Njoo DM
Ngoja viendelee kuumana..watatufuata hadi tunakonywea bia zetu..ni suala la muda tu..Haya wanaume walevi tupite hivi
"no sweti" hatutaki nyodo hili tangazo lako peleka kwenye nyumba za ibada.
Sisi hatuna dhiki
Dah Mkuu umemwambia maneno magumu sana..atalia huko aliko na kujiona hana bahati..Miaka 29 wenzio wana watoto wawili wawili we ndo kwanza unatafuta rafiki. Kwa umri huo ulipaswa kuwa na marafiki 3 ambao ni mumeo na watoto wako 2.
Jua limezama pole sana, tafuta mume wa mtu jibanze au tafuta mstaafu ule nae pension.
Wewe songa mbele PM huko..mwenye kisu kikali ndiyo atakula nyama..Je endapo ni mfanyabiashara
Elimu ya secondary
😅😅😅😅😅😅😅😅😅 Hili jibu lako limefanya nicheke sana, anyway njoo PMMimi sifugi chura