shin gun wook
JF-Expert Member
- Sep 26, 2017
- 995
- 1,510
ameomba rafiki tu umetoa namba hivyo hadharani angeomba uchumba si ndo ungetaja majina yenu yote mpaka ya babu na bibiNipigie kwa 0718754110
ameomba rafiki tu umetoa namba hivyo hadharani angeomba uchumba si ndo ungetaja majina yenu yote mpaka ya babu na bibiNipigie kwa 0718754110
duh kila ninapoingia upo hahakwenye umri tuna tengana
hahhahaha hahahaha hata sura ya mtu hajaonaameomba rafiki tu umetoa namba hivyo hadharani angeomba uchumba si ndo ungetaja majina yenu yote mpaka ya babu na bibi
Hahahahaha dingi kakamia sana eeeeDah mkuu umekamia sana.
Nipo nichekiHabari zenu wanajamvi
Natafuta rafiki wa kiume kwa ajiri ya kubadilishana mawazo mbali mbali niko mpweke sana na nina mawazo lukuki. rafik nimtakae awe na mika 26 na kuendelea awe ameo au hajao anakaribishwa kwan me namuhitaji kwaajiri ya urafik na sio mahusiano. Akitokea pande za kaskazin itapendeza zaidi.
Ahsanten
Napita tu aisee..Hongera sana kuwa na mawazo yaliyofunguka Mimi Nami nataka watu wa aina yako.Mimi Nina mke na watoto ila naweza kukufarij fani yangu nimesomea sayansi ya Jamii nimeajiliwa ni musukuma wa Bunda Mara nafanyia kazi Busega Simiyu mkoa mpya namba zangu ni 0766940499 karibu sana
Endeleeni kuji-expose tu...mnakamatika kirahisiiii wazee wa Screenshot wameshafanya yao...
Mungu awanusuru.Habari zenu wanajamvi
Natafuta rafiki wa kiume kwa ajiri ya kubadilishana mawazo mbali mbali niko mpweke sana na nina mawazo lukuki. rafik nimtakae awe na mika 26 na kuendelea awe ameo au hajao anakaribishwa kwan me namuhitaji kwaajiri ya urafik na sio mahusiano. Akitokea pande za kaskazin itapendeza zaidi.
Ahsanten
Mkuu cheka aweze kukuona upo gizani.Karibu sana, umenipata dada
Hakuna urafiki wa simba na swalaHuo urafiki wa ke na me kuna siku lazima utatafunwa tu
Uyyyyyyuna mawazo gani hayo lukuki?