Mm kwakweli ninae na ameshanioaShunie wewe hutafuti nijitose! walai Mtoto Mashallah umenifanya gahawa hii nayokunywa niombe kashata
Mm kwakweli ninae na ameshanioa
Hakuna fuko la helaShunie fuko la hela unalipiga teke hiloo
Hahahaha safi sana umenikumbusha kitu
Hakuna fuko la hela
Kabisaa Mkuu Wengi ni Mashoga na WasagajiKuwa makini humu,
Kuna wanawake wanajidai wanaume,
Na kuna wanaume wanajidai wanawake...so never take JF serious
Ah kama Tayari wacha nikae mbali...woyiiiMm kwakweli ninae na ameshanioa
Ah kama Tayari wacha nikae mbali...woyiii
Mnakuwaga sumu ikinoga
NdioooMnakuwaga sumu ikinoga
Nimekusoma kwa kila mstari na kila neno..unamaanisha na unachohitaji..njoo inbox tafadhali#Anoranah
Nahitaji tu rafiki kwa sasa urafiki ukikua na ikaonekana kwamba tunaweza ku-copy tutaamua iwe hivyo