Natafuta Pump ya Mafuta

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
61,357
Reaction score
100,341
Nina mpango wa kufungua mahali pa kuuzia mafuta ya Taa hapa Kijijini kwetu, naombeni msaada wenu ni wapi naweza kupata mashine (pump) maana tank nimeshalipata. Mwenye mawazo jinsi ya kupata hizi mashine tuwasiliane na nitakuwa natumia Genereta au Handle maana hapa kijijini hakuna umeme.
 
Ni ya kununua sio ya kukodisha au ya sadaka, it is businesss.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…