aysha_123456
Member
- Dec 16, 2017
- 58
- 23
Habari zenu wakuu, natafuta pembe za n'gombe rangi nyeupe mkoa yoyote na kiasi chochote hata kama zaidi ya tani moja! Ntanunua kwa bei nzuri popote inapopatikana
Asanteni
Asanteni
Ukubwa yoyote ile...mm nipo Dodoma ila naziuza Dar ndo soko lake ilipo so popote nitapokipata haina shida na kwa bei mkuu ni maelewano usjli! Kma uko serious na unazo ni pm namba yakoZa ukubwa gani?tani unanunua bei gani?unapatikana wapi?
Weka mawasiliano
Nmba yngu 0629399906Nyeupe?
Ebu weka number ya cm
0629399906Weka mawasiliano
Bei ni nanunua kwa kilo ni alf 7 mkuuTanua wigo wa bishara yako,weka bei hapa kila mtu aione mkuu.
Kuna watu wananunua alafu wanazisafirisha inje na kutumika kwa ajili ya mapamo, kutengeneza sahani, vifungo za nguo na vitu vingine piaMimi niulize tu zinakazi gani?? (Nielimisheni mnaojua)
Kuna watu wananunua alafu wanazisafirisha inje na kutumika kwa ajili ya mapamo, kutengeneza sahani, vifungo za nguo na vitu vingine pia