rommy shabby
JF-Expert Member
- Jun 26, 2017
- 1,122
- 1,313
Ndyo hazina ubora kama pembe nyeusi...wanahtaji rangi nyeupe zaidi ndo zinakuwa zinakubalikaShukrani mkuu, niliwaza vifungo na vyakula vya mifugo ila nkaona umeweka sharti la rangi hapo nkaona niulizie vizuri, sasa hizo nyingine vipi (za rangi tofauti) au hazina ubora?
Ndyo bdo naendelia nazo nimekutumia pm mkuuBado unaendelea na business MKUU ? Ninazo kama Tank 2 hivi
OK soon nitakuchekNdyo bdo naendelia nazo nimekutumia pm mkuu
Hata Mimi nimehisi hicho kitu.nahisi dalili ya watu kupigwa
ukiwa nazo mtafute, waswahili wanasema iga matumizi usiige kazi utaniharibia watejaHii ni fursa mazee, embu funguka kidogo mkuu. Ni wapi soko lake lipo au ni nje ya nchi