je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,881
- 3,619
Niende moja kwa moja kwenye mada husika. Mimi kama kijana ninayepambana kutafuta ugali, nimeona fursa katika hii biashara ya miamala natafuta mtu mwenye mtaji wa kuanzia mil na kuendelea mbele ili kusaidiana katika maisha haya.
Mimi sina mtaji ila kuna sehemu nimelenga hapo hatukosi hela za kula kabisa nina uhakika huo. Nimeleta wazo langu hili najua humu kuna watu mbalimbali wenye uwezo tofauti na wengine tunavyochukulia uaminifu ni mkubwa mno.
Mwenye kuungana na mimi tukasaidiana pakubwa aje PM tafdhali
Mimi sina mtaji ila kuna sehemu nimelenga hapo hatukosi hela za kula kabisa nina uhakika huo. Nimeleta wazo langu hili najua humu kuna watu mbalimbali wenye uwezo tofauti na wengine tunavyochukulia uaminifu ni mkubwa mno.
Mwenye kuungana na mimi tukasaidiana pakubwa aje PM tafdhali