natafuta 'partner' wa biashara

The Kop

JF-Expert Member
Aug 7, 2010
209
92
wasalaam wadau....
nina shamba la zaidi ya ekari 50 ambalo liko kama mita 400 kutoka kando ya ziwa victoria.
kwa sasa ninasoma chuo, natarajia kuingia mwaka wa mwisho hapo oktoba.
malengo yangu hasa ni kujiajiri katika shughuli za kilimo hususan mazao ya 'viungo' kama vitunguu 'swaumu', tangawizi, karanga na mengine kama hayo. nimeuliza wataalam wa kilimo wameniakikishia kuwa mazao hayo yanawaeza kustawi ktk udongo huo.
hata hivyo mazao ya nafaka kama mahindi, mpunga, choroko, dengu yanastawi sana ktk eneo hilo, na yanalimwa sana na wenyeji wa maeneo hayo.
wito wangu ni kwa mtu yeyote ambaye anaweza kuwa na raslimali fedha, tukajiunga nae, kwanza kwa kufanya 'survey' ktk eneo huskika
halafu tukafanya upembuzi yakinifu, ni mradi ambao hauwezi kupoteza ukizingatia shamba liko karibu na chanzo cha uhakika cha maji,
na mazao hayo ya viungo na hata ya chakula ni 'hot cake'

naomba kuwasilisha....!
 
mkuu ...safi sana na hongera kwa mawazo mazuri kama haya

natumaini utafanikiwa kupata partner ......ningekushauri u sacrifice kidogo kwa kumpa share partner wako katika umiliki wa hilo shamba

mtakapo survey na kupata hati miliki ikiwa ni jointly itasaidia ..... hii itasaidia kumuhaknikishia partner kwamba na yeye ana permanent acquisition na sio kuingiza pesa tuu

mradi mzuri sana

wish you all the best
 
wasalaam wadau....<br />
nina shamba la zaidi ya ekari 50 ambalo liko kama mita 400 kutoka kando ya ziwa victoria.<br />
kwa sasa ninasoma chuo, natarajia kuingia mwaka wa mwisho hapo oktoba.<br />
malengo yangu hasa ni kujiajiri katika shughuli za kilimo hususan mazao ya 'viungo' kama vitunguu 'swaumu', tangawizi, karanga na mengine kama hayo. nimeuliza wataalam wa kilimo wameniakikishia kuwa mazao hayo yanawaeza kustawi ktk udongo huo.<br />
hata hivyo mazao ya nafaka kama mahindi, mpunga, choroko, dengu yanastawi sana ktk eneo hilo, na yanalimwa sana na wenyeji wa maeneo hayo.<br />
wito wangu ni kwa mtu yeyote ambaye anaweza kuwa na raslimali fedha, tukajiunga nae, kwanza kwa kufanya 'survey' ktk eneo huskika<br />
halafu tukafanya upembuzi yakinifu, ni mradi ambao hauwezi kupoteza ukizingatia shamba liko karibu na chanzo cha uhakika cha maji,<br />
na mazao hayo ya viungo na hata ya chakula ni 'hot cake'<br />
<br />
naomba kuwasilisha....!
<br />
<br />

Good venture, ukimpata huyo partner na mkawa productive nina soko la hayo mazao ulotaja. Msirumie mbolea za kemikali lakini ila tumia pestcide kuua wadudu waharibifu.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
mkuu ...safi sana na hongera kwa mawazo mazuri kama haya<br />
<br />
natumaini utafanikiwa kupata partner ......ningekushauri u sacrifice kidogo kwa kumpa share partner wako katika umiliki wa hilo shamba<br />
<br />
mtakapo survey na kupata hati miliki ikiwa ni jointly itasaidia ..... hii itasaidia kumuhaknikishia partner kwamba na yeye ana permanent acquisition na sio kuingiza pesa tuu<br />
<br />
mradi mzuri sana<br />
<br />
wish you all the best
<br />
<br />
thanx LAT, i'll work on ur constructive comments!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Good venture, ukimpata huyo partner na mkawa productive nina soko la hayo mazao ulotaja. Msirumie mbolea za kemikali lakini ila tumia pestcide kuua wadudu waharibifu.
<br />
<br />
thanx mkuu, tutafanyia kazi ushauri wako wa ki taalam
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom