Me nahitaji yenye vyumba 3 iwe ya kujitegemea kila kitu na iwe na fence maeneo ya Nyegezi, Mkolan na Buhongwa. Ikipatika kwa maeneo hayo naomba kujulishwa bajet yangu 2800000Mkuu andika vizuri idadi ya vyumba unavyotaka na location ya nyumba ikiwezekana na bajeti yako itapendeza