Eli24
Senior Member
- Jan 1, 2018
- 165
- 361
Habar wanajamii
Natafuta nyumba ya kupanga hapa mjin Arusha kwa bei ya kuanzia laki na nusu hadi laki mbili.
Mahitaji ni chumba self, sebule, jiko kwa ndan au hata double self itakuwa poa pia.
Maeneo ninayotamani sana ni Sakina, Majengo, Shamsi na Miazini.
Kama unayo Njoo PM tubongee biashara
Ahsante
Natafuta nyumba ya kupanga hapa mjin Arusha kwa bei ya kuanzia laki na nusu hadi laki mbili.
Mahitaji ni chumba self, sebule, jiko kwa ndan au hata double self itakuwa poa pia.
Maeneo ninayotamani sana ni Sakina, Majengo, Shamsi na Miazini.
Kama unayo Njoo PM tubongee biashara
Ahsante