Natafuta nyumba ya kupanga Arusha

Natafuta nyumba ya kupanga Arusha

whizkid

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2010
Posts
357
Reaction score
240
Wana JF,

Natafuta nyumba ya kupanga Arusha maeneo ya Njiro. Vyumba viwili au vitatu (kimoja kiwe self-contained), sebule, jiko na bafu/choo. Budget Tshs 250,000/= kwa mwezi. Kama una information zozote (unafahamu nyumba inayopangishwa, una namba za brokers etc) tafadhali ni PM. Ahsante sana.

PS: Nipo tayari kulipa mwaka mzima.
 
Kuna members wenzetu wako hapo Njiro!
Ngongo ni mmojawapo, naamini kiona hii atakupigia in no time!
 
nitafute kwa namba 0713772308 au 0767772308 ni mwenye nyumba na ipo njiro kwa msola. Ina room tatu moja self contained na zingne mbilo za kulala, sebule na dinning pamoja na public toilet. Umeme umeshalipiwa kwa ajili ya kuunganishwa ni muda wowote utawekwa.
 
Salamu nyingi wadau wa Jamii forums.
Kuna nyumba ya kupanga kwa Mworombo, Arusha (6km) kutoka City center. Ni nyumba yenye vyumba vitatu (3) Master moja+vyumba viwili vya kawaida na sebule kubwa sana. Ina jiko kubwa na uzio na usalama ni wa hali ya juu. Nyumba inapangishwa kwa Tshs 160,000/- tu kwa mwezi. Kodi inalipwa kwa miezi mitatu mitatu.

Pungufu moja la nyumba hii ni kuwa haina maji lakini ina matangi mawili (10,000Lts+2000 Liters) ambayo mpangaji anaweza kuagiza maji na kuyajaza kwa gharama yake.Hii nyumba ni mpya na ina umeme. Pia ipo mahali patulivu na usalama ni wa uhakika.

Ukihitaji hii nyumba basi piga simu kwa Gerald 0685612463 au 0719300277.

Nitakuwa tayari kukuonyesha hii nyumba wakati wowote.
 
Arachuga!!!!!!
The best city in tanzania,nyama choma kwa sana,samaki choma na ugali,anytime unapiga pamba bila kutoka jasho,arachuga is my real best city down there,siku nikirudi home ntapenda kuishi arachuga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom