whizkid
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 357
- 240
Wana JF,
Natafuta nyumba ya kupanga Arusha maeneo ya Njiro. Vyumba viwili au vitatu (kimoja kiwe self-contained), sebule, jiko na bafu/choo. Budget Tshs 250,000/= kwa mwezi. Kama una information zozote (unafahamu nyumba inayopangishwa, una namba za brokers etc) tafadhali ni PM. Ahsante sana.
PS: Nipo tayari kulipa mwaka mzima.
Natafuta nyumba ya kupanga Arusha maeneo ya Njiro. Vyumba viwili au vitatu (kimoja kiwe self-contained), sebule, jiko na bafu/choo. Budget Tshs 250,000/= kwa mwezi. Kama una information zozote (unafahamu nyumba inayopangishwa, una namba za brokers etc) tafadhali ni PM. Ahsante sana.
PS: Nipo tayari kulipa mwaka mzima.