rama halavi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2015
- 269
- 236
Kuna nyumba ipo kinondoni karibu kabisa na gereji inayoitwa pachoto nyuma ya Mk Bar ina nyumba kubwa na ndogo nyumba, nyumba kubwa ina master, vyumba 2 choo na bafu la ndani, jiko, dining na sitting. nyumba ndogo ina chumba na sebule, jiko, chumba cha hausigeli na choo cha nje, ina sehemu ya kupark gari 2 bei million 250 ila inashuka, hati zote zipo sawa, nyumba iko barabarani kabisa na muuzaji mkuu ni mama yangu mdogo, Nichek 0717 992035 nikuunganishe na bi mkubwa kwa mwenye uhitaji.