Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,903
- 828
- Thread starter
- #21
Wadau nashukuru kwa majibu lakini ili kuondoa usumbufu usio wa lazima ingekuwa ni busara mngetupia picha vilevile nyumba ziwe na nyaraka husika za umiliki
.Wadau
Ninatafuta nyumba ya kawaida ya kununua maeneo ya Kinondoni ,Tabata ,Mbezi beach ,Kimara ,Mwenge,Knyama ,Makumbusho,Mwananyamala ,Sinza, kurasini ,mtoni nk kwa kifupi isiwe nje sana na mji.Bei isizidi 80m .Majibu kwa walio serious tu!...ku deal na wamiliki ingekuwa bora zaidi...karibuni wadau!!
Wadau
Ninatafuta nyumba ya kawaida ya kununua maeneo ya Kinondoni ,Tabata ,Mbezi beach ,Kimara ,Mwenge,Knyama ,Makumbusho,Mwananyamala ,Sinza, kurasini ,mtoni nk kwa kifupi isiwe nje sana na mji.Bei isizidi 80m .Majibu kwa walio serious tu!...ku deal na wamiliki ingekuwa bora zaidi...karibuni wadau!!
Pouwa nitakucheki...I hope ina nyaraka zote muhimu za umilikiHii inauzwa Milioni 75, Ipo Mbezibeach Upande wa Chini, dakika mbili kutoka Puma petrolstation.
Contact: 0752 953860
Nitakucheki mdau
Pouwa nitakucheki...I hope ina nyaraka zote muhimu za umiliki
Wadau nashukuru kwa majibu lakini ili kuondoa usumbufu usio wa lazima ingekuwa ni busara mngetupia picha vilevile nyumba ziwe na nyaraka husika za umiliki
Mkuu piga namba hii 0713724242 ni ya mwenye nyumba,ipo temeke mtaa wa maganga karibu kabisa na barabara ya lami,jirani kuna nyumba mpya ya ghorofa,Ina hati halali ya serikali inayosomeka jina la muuzaji.Naamini hutajutia uamuzi wako.
Wewe jamaa weka namba ya simuAnaehitaji nyumba Dodoma_ Ilazo ani PM
Wadau
Ninatafuta nyumba ya kawaida ya kununua maeneo ya Kinondoni ,Tabata ,Mbezi beach ,Kimara ,Mwenge,Knyama ,Makumbusho,Mwananyamala ,Sinza, kurasini ,mtoni nk kwa kifupi isiwe nje sana na mji.Bei isizidi 80m .Majibu kwa walio serious tu!...ku deal na wamiliki ingekuwa bora zaidi...karibuni wadau!!
mkuu ipo nyumba mbagara sabasaba karibu na shule ya st antony nyumba ila umeme, ina maji nyumba imegawanyika ina nyumba kubwa na ndogo nyumba kubwa ina sebule na vyumba vitatu vya kulala na pamoja na choo nyumba ndogo ina stoo na chumba kimoja cha kulala pia ina choo cha nje. INAUZA 50MWadau
Ninatafuta nyumba ya kawaida ya kununua maeneo ya Kinondoni ,Tabata ,Mbezi beach ,Kimara ,Mwenge,Knyama ,Makumbusho,Mwananyamala ,Sinza, kurasini ,mtoni nk kwa kifupi isiwe nje sana na mji.Bei isizidi 80m .Majibu kwa walio serious tu!...ku deal na wamiliki ingekuwa bora zaidi...karibuni wadau!!
Jamani tuoneane huruma. Hiyo bei na nyumba mbona havifananiHouse - with two apartments: Seat room, Dining room, 2-Bed rooms, 1- Store & Kitchen, 1-Front Verandah, 1- External Toilet + Bath room and Parking area.
Plot size: 600 Square meter (sq.m).
Electricity: Available.
Water is borehole: pure drinking water.(Maji ya kisima ni maji baridi ayana chumvi)
Location: chanika mwisho 1.2km from chanika bus stand (Along a main road from chanika to mvuti).
Selling 80 million T.sh. (Negotiable). All payment should be done in cash for single instrument.
Contact: 0688405123. karibu sana