Natafuta nyumba ya kununua

Natafuta nyumba ya kununua

Zamazamani

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2008
Posts
1,903
Reaction score
828
Wadau
Ninatafuta nyumba ya kawaida ya kununua maeneo ya Kinondoni ,Tabata ,Mbezi beach ,Kimara ,Mwenge,Knyama ,Makumbusho,Mwananyamala ,Sinza, kurasini ,mtoni nk kwa kifupi isiwe nje sana na mji.Bei isizidi 80m .Majibu kwa walio serious tu!...ku deal na wamiliki ingekuwa bora zaidi...karibuni wadau!!
 
Wadau
Ninatafuta nyumba ya kawaida ya kununua maeneo ya Kinondoni ,Tabata ,Mbezi beach ,Kimara ,Mwenge,Knyama ,Makumbusho,Mwananyamala ,Sinza, kurasini ,mtoni nk kwa kifupi isiwe nje sana na mji.Bei isizidi 80m .Majibu kwa walio serious tu!...ku deal na wamiliki ingekuwa bora zaidi...karibuni wadau!!

Nina Nyumba iko Mbagala bughdadi. Karibu kabisa na reli ya Tazara. Kituo cha kushukia ni msikitini ukitoka mtoni. Ni nyumba mpya yenye vyumba vitatu sebule na ukumbi wa kulia. Bati za kisasa. Ina maji umeme na vyumba viwili vya uani. Kila chumba kina feni. Master bedroom na public toilet na choo cha nje cha msaada. Karibu tuongee dili hata 60 m nitakupa kwa uchache
 
Wadau
Ninatafuta nyumba ya kawaida ya kununua maeneo ya Kinondoni ,Tabata ,Mbezi beach ,Kimara ,Mwenge,Knyama ,Makumbusho,Mwananyamala ,Sinza, kurasini ,mtoni nk kwa kifupi isiwe nje sana na mji.Bei isizidi 80m .Majibu kwa walio serious tu!...ku deal na wamiliki ingekuwa bora zaidi...karibuni wadau!!

0657444196 au 0712531349.beep hizo tufanye biashara.
 
IPO nyumba mbagala sabasaba kwa mpili vyumba vitatu pamoja na uwanja mbele ya nyumba, nauza kwa bei ya sh.mil 15 tu .namba za simu 0719891188
 
Njoo nyumba ipo Kigogo,ipo sehemu nzuri,vyumba 3 na sebule,bei mil 45. Mawasiliano 0766212206
 
Wadau
Ninatafuta nyumba ya kawaida ya kununua maeneo ya Kinondoni ,Tabata ,Mbezi beach ,Kimara ,Mwenge,Knyama ,Makumbusho,Mwananyamala ,Sinza, kurasini ,mtoni nk kwa kifupi isiwe nje sana na mji.Bei isizidi 80m .Majibu kwa walio serious tu!...ku deal na wamiliki ingekuwa bora zaidi...karibuni wadau!!

Nina nyumba mbagala nzasa. vyumba 3 pamoja na masta, public toilet, dinning, sitting room na jiko.
Ipo hatua ya ukamilishaji.
Bei ni 38 milioni.
0787~341056
 
Tupeane marejesho tu biashara ikifanyika
 
Njoo Mbezi Mwisho, njia ya kwenda Goba, 1 km kutoka Morogoro rd, mpya, bado finishing ndogo ndogo, 30m Tshs
 
Nyumba ipo temeke veternaly milion 60
1km from main road
Gari inaingia hadi ndan
Ina nafasi ya kujenga
Picha whatsap 0714571170
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom