Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,903
- 828
Wadau
Ninatafuta nyumba ya kawaida ya kununua maeneo ya Kinondoni ,Tabata ,Mbezi beach ,Kimara ,Mwenge,Knyama ,Makumbusho,Mwananyamala ,Sinza, kurasini ,mtoni nk kwa kifupi isiwe nje sana na mji.Bei isizidi 80m .Majibu kwa walio serious tu!...ku deal na wamiliki ingekuwa bora zaidi...karibuni wadau!!
Ninatafuta nyumba ya kawaida ya kununua maeneo ya Kinondoni ,Tabata ,Mbezi beach ,Kimara ,Mwenge,Knyama ,Makumbusho,Mwananyamala ,Sinza, kurasini ,mtoni nk kwa kifupi isiwe nje sana na mji.Bei isizidi 80m .Majibu kwa walio serious tu!...ku deal na wamiliki ingekuwa bora zaidi...karibuni wadau!!