Natafuta nyumba au chumba kiwe master

Natafuta nyumba au chumba kiwe master

Mechanical

Member
Joined
Oct 20, 2020
Posts
71
Reaction score
107
Natafuta chumba au nyumba iwe master, eneo la Makongo Juu karibu na sheli ya Oryx au iwe mbali kidogo na sheli hiyo lakin upatikanaji wa usafiri uwe ni wa huakika kwenye barabara inayopita katka sheli hiyo.

Namba zangu 0713342243
 
Unataka chumba cha kupanga Single au Master Maeneo ya kigamboni karibu na Ferry, au magomeni Sinza, Ubungo Makumbusho na maeneo mengineyo hapa Dar?

Comment "Nataka" upate room chap chap

Piga: 0759448927
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom