Ramthods
JF-Expert Member
- Jun 2, 2009
- 515
- 186
Wadau,
Hivi karibuni nimekubwa na usumbufu wa panya. Wanatoboa madirisha na kuingia ndani nyakati za usiku. Nimejitahidi kupambana, ila nimeona paka atakuwa suluhisho la kuaminika. Nikiweka sumu wanafia kwenye kona, wanaozea huko!
Sumu nyingine nadhani ni feki, wakila hawafi!
Nani mdau mwenye paka mdogo, lakini mwenye uwezo wa kuwatimua hawa wabwana mbio anipe tafu kabla sijanunua sofa mpya?
Nipo Dar, mitaa ya Mbezi beach!
Natanguliza shukrani!
Hivi karibuni nimekubwa na usumbufu wa panya. Wanatoboa madirisha na kuingia ndani nyakati za usiku. Nimejitahidi kupambana, ila nimeona paka atakuwa suluhisho la kuaminika. Nikiweka sumu wanafia kwenye kona, wanaozea huko!
Sumu nyingine nadhani ni feki, wakila hawafi!
Nani mdau mwenye paka mdogo, lakini mwenye uwezo wa kuwatimua hawa wabwana mbio anipe tafu kabla sijanunua sofa mpya?
Nipo Dar, mitaa ya Mbezi beach!
Natanguliza shukrani!