K Kiebuta Member Jun 12, 2019 36 188 Jan 18, 2021 #1 Habari za majukumu wanajamvi, Ninahitaji Ngombe wa maziwa Singida mjini awe ndama, mtamba au mwenye mimba. Au kwa anaejua wapi ntaweza kupata maeneo ya karibu anipe maelekezo, Natanguliza shukrani.
Habari za majukumu wanajamvi, Ninahitaji Ngombe wa maziwa Singida mjini awe ndama, mtamba au mwenye mimba. Au kwa anaejua wapi ntaweza kupata maeneo ya karibu anipe maelekezo, Natanguliza shukrani.
mugah di matheo JF-Expert Member Jul 28, 2018 6,276 12,335 Aug 7, 2021 #3 Tunasubiri majibu aweke na bei pia kwa singida,Dodoma na manyara
UNSPECIFIED JF-Expert Member Sep 13, 2017 727 2,203 Aug 7, 2021 #4 Mi ninao mitamba wenye mimba za miezi 3 aina Ayshire na Fresian. Bei 2.5m kila moja wapo Singida mjini
Mi ninao mitamba wenye mimba za miezi 3 aina Ayshire na Fresian. Bei 2.5m kila moja wapo Singida mjini
mugah di matheo JF-Expert Member Jul 28, 2018 6,276 12,335 Aug 7, 2021 #5 UNSPECIFIED said: Mi ninao mitamba wenye mimba za miezi 3 aina Ayshire na Fresian. Bei 2.5m kila moja wapo Singida mjini Click to expand... Hao Ayshire anatoa lita ngapi kwa siku?
UNSPECIFIED said: Mi ninao mitamba wenye mimba za miezi 3 aina Ayshire na Fresian. Bei 2.5m kila moja wapo Singida mjini Click to expand... Hao Ayshire anatoa lita ngapi kwa siku?