mmmmmh! haya naona sijafika vigezo. kila la heri.Kwa upande wa ke walau awe anaanzia 30 yrs maana najua umri huo wengi ni waelewa na wako vizuri. Pia kuna mengi ya ku-share kama. Ujasiriamali, kazi, biasharasha, maisha na n.k.
Wewe ndo una zereu, kwan sisi under 38 hatufai??
Kweli hi party ya wakubwa, vp una mume??
Kweli hi party ya wakubwa, vp una mume??
Mume ninae Daud. Afu kama na wewe ungekuwa na mke ingependeza zaidi na ndo maana nimechagua umri huo maana najua wengi lazima watakuwa wameoa au kuolewa. Karibu tu usiogope.
Acha maswali mengi wewe,kama huna vigezo kaa pembeni utuache wenye umri wetu uliofika semester ya mwisho tujinafasi!!!
Ni matumaini yangu wote mu wazima wa afya na mnaendelea vema na majukumu yenu ya kila siku.
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka. Nimeamua kuwa na aina tofauti ya kufunga na kuanza mwaka. Natafuta kampani awe ke au me awe anauwezo nami na uwezo wangu wa kushare chochote kama drinks na maongezi yaendane pia. kama utakuwa me naomba uwe walau una 38 yrs najua hakutakuwa na mambo ya kihuni huni. Pia tutashauriana tutaenda wapi. Karibu kwa aliye siriaz tu.
Nawasilisha.
Wewe ndo una zereu, kwan sisi under 38 hatufai??
Unless ni Mjane anayetafuta faraja, Mwanaume wa umri huo atakayekubali kuandamana na wewe ni True definition ya Mtu mwenye mambo ya Kihuni huni.
Ni aidha atakuwa hajaoa.. Jiulize Mwanaume 38Yrs anasubiri nini hajaoa?
Au kama ameoa basi kitendo cha kumuacha mkewe nyumbani ili akae na wewe ndiyo uhuni wenyewe huo.
Hebu punguza miaka Bana tukupege Kampani, Na nina nondo kibao naweza kukupa hata zikakutoa kimaisha..
sio lazima mwenye kuwa na mke kuongozana na mkewe kila sehemu; kuna sehemu nyingine huwa tunaachiana nafasi; wife anaenda zake na me anaenda zake ili mradi heshima iwepo tu.
Ndeye; tena yamekuwa hayo jamani? ok!
Unless ni Mjane anayetafuta faraja, Mwanaume wa umri huo atakayekubali kuandamana na wewe ni True definition ya Mtu mwenye mambo ya Kihuni huni.
Ni aidha atakuwa hajaoa.. Jiulize Mwanaume 38Yrs anasubiri nini hajaoa?
Au kama ameoa basi kitendo cha kumuacha mkewe nyumbani ili akae na wewe ndiyo uhuni wenyewe huo.
Hebu punguza miaka Bana tukupege Kampani, Na nina nondo kibao naweza kukupa hata zikakutoa kimaisha..
Ningekuwa mjane ningesema natafuta mwanaume, na ndo maana nimesema me na ke na tena wenye familia maana tutaunganisha famili pamoja. Na ni wengi tu wanafanya hivyo mimi naonaga na huwa tunafanyaga hivyo na ndio maana nimependa kuwakaribisha na humu jf MMU kama mtu akipenda na sio lazima pia. ila karibu sana.
Sasa vipi kuhusu kupunguza miaka ili angalau na sisi tuweze kupata maujuzi ya kikubwa?
Oooooh!!! kumbe. Nipo Bongo Dsm.
Hivi ulifanikiwa kujifunza gari wakti ule? naona hadi leo hujanipa mrejesho atiii
Me nina 42 je upo tayari?????????????