Gamba Manoni
Member
- Mar 24, 2011
- 50
- 73
Tafadhali guyz natafuta nafasi ya kujitolea katika fani ya information technology ili kukuza kipaji katika fani, level yangu ya fani ni diploma . Tafadhali kama yeyote atakuwa tayari tuwasiliane kupitia 0682260333