Decruise
Member
- Oct 31, 2024
- 20
- 37
Shikamooni wakubwa zangu, habari za kazi pia vijana wenzangu. kwa jina naitwa meshack ni muhitimu wa chuo cha taifa cha usafirishaji Dar es Salaam. natafuta kibarua au kazi kabisa.
Elimu yangu ni degree ya usafirishaji na logistiki kwa ujumla naweza nikafanya kazi kama afisa usafirishaji yaani (transport officer).
Pia naweza kua fleet manager. pamoja na clearing and forwarding manager kwenye warehouse
nipo tayari kufanya kazi sehemu yoyote kwa sasa nipo Dar es salaam.(0748971306)