raia_mwema
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 479
- 313
nimehitimu degree katika field ya ICT mwaka 2011, Baada ya kutuma application zisizopungua 80 pasipo mafanikio naomba kwa mwenye msaada kwani natafuta ofisi ambapo nitavolunteer kazi za ICT kwa mkoa dar es salaam......