lilly petet
Senior Member
- Feb 20, 2013
- 144
- 22
mimi ni mdada wa miaka 23 natafuta mwanaume wa kunioa mwenye umri wa miaka kuanzia 4o~55 aliye tayari anipm xaxa ...
mimi ni mdada wa miaka 23 natafuta mwanaume wa kunioa mwenye umri wa miaka kuanzia 4o~55 aliye tayari anipm xaxa ...
Samahani mamii,mi naomba uni PM kama kweli uko serious tafadhali sana.
Mbona hamjiamini!!!!
Dada mbona unaweka umri huo kulikoni?
Ss we unataka kila kitu kimwagwe humu,we vipi bana,PM mambo yote kwa sababu kuna watu hawachelewe hata namba ukiweka hapa unaanza kubipiwa kila dakika,mara nitumie MPESA,tafadhali nipigie,kwani watu wana dogo?!
Vibabu vina familia..Kazoea vibabu, vitoto vinazingua
Vibabu vina familia..
Bora angesema kuanzia 30 ningejitosa coz hata mm natafutaa...
.........xaxa ...
Vipo bibabu VIGANE vingi tu siku hizi
Hata kama wewe ndo utakayelipa mahali bado sijaoa kimwanamke cha hivi.........xaxa ndo nini..subiri ukue pumbaf!!!!!!!
Vinatakiwa kuogopwa,ajue ilikuwaje vikawa Vigane.
Hilo si tatizo, mbona vipimo vipo kila mahali!!
Nimesema hamjiamini kwasababu yeye ameomba aliye interested amtumie PM,wewe nawe unasema "naomba ni PM" ungekuwa wajiamini ungemtumia wewe coz ameshatoa maelekezo.
mimi ni mdada wa miaka 23 natafuta mwanaume wa kunioa mwenye umri wa miaka kuanzia 4o~55 aliye tayari anipm xaxa ...
mimi ni mdada wa miaka 23 natafuta mwanaume wa kunioa mwenye umri wa miaka kuanzia 4o~55 aliye tayari anipm xaxa ...