Natafuta mwanaume

Natafuta mwanaume

Vibabu vina familia..
Bora angesema kuanzia 30 ningejitosa coz hata mm natafutaa...
Usijali paka nywele rangi nyeupe kama mzee wa magumashi aone kama una 55 atalainika tu
 
Nimegundua kitu kuna baadhi ya vichwa havifahamu maana ya neno (PM) mwenye muda asaidie kufafanua mana mie napita t!
 
Nimegundua kitu kuna baadhi ya vichwa havifahamu maana ya neno (PM) mwenye muda asaidie kufafanua mana mie napita t!

Nimehisi kuwa nawe ni miongoni mwao, ntakusaidia pamoja nao......PM- Private Message, nimemaliza
 
  • Thanks
Reactions: ESI
Surery life is a race,you got to run faster or else you gonna get trampled loh,ujue na kuchuja dada maana kuna mijitu nayo yajua kuplay na ppl's feelings loh
 
Dunia imechange.....zama zile wanaume ndo walikua wana wafukuzia wanawake, now days mambo ni vice versa
 
Mimi Nina miaka 44 kwa umri WANGU huo sijui hata Huko ku pm nijulishe nini maana yake ili ni kupm
 
Mh sipati picha mangapi umeona mpaka ukaamua kuweka vijana pembeni. Wala sikulaumu. Good Luck umpate wa kwako pekee yako. Usiwe type za akina Zahra White.
 
Last edited by a moderator:
Mh sipati picha mangapi umeona mpaka ukaamua kuweka vijana pembeni. Wala sikulaumu. Good Luck umpate wa kwako pekee yako. Usiwe type za akina Zahra White.

Bibie Hupitwi na jambo.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
shost nimekuja hivi wewe unamuelewaga huyu mama wa muniwache munikome?abatapatapa chezea kitombo cha mchana pekee lazima udate ujue anakuja too hapa anatalktalk shits:yell:
amu,njoo huku Zahra White ana mume? hahahahahahahaha. Umeopoa muuza chipsi usiku huu unasingizia ni mumeo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom