Natafuta mwanaume wa kunioa

Natafuta mwanaume wa kunioa

😂😂😂Haya ndo madhara kuweka simu karibu na watoto....haya ebu rudisha simu ya baba.
 
Mambozz.

Jamani natafuta mwanaume wa kunioa humu jf.

Awe na Hela kwenye Acc yake isome 900M na kuendelea.

Awe na passport na imetiwa muhuri wa nchi 5 za ulaya kuendelea.

Awe na nguvu za kiume.

Gari kuanzia tano ndogo kabisa iwe Harrier.

Awe mkazi wa Mbezi beach,masaki ,oysterbay,masaki,ununio,mbweni,bahari beach na kigamboni.

Awe msafi na mtanashati nguo zake awe na designer kabisa.

Akubali kunioa kuanzia mwakani mwenzi wa kwanza?
kama mwezi huwezi kuandika unaandika mwenzi na unataka mwanaume mwenye 900m jijue wewe ni mpuuzi wa mwisho na itaishia kuolewa na mlinzi wa vunjabei
 
Mambozz.

Jamani natafuta mwanaume wa kunioa humu jf.

Awe na Hela kwenye Acc yake isome 900M na kuendelea.

Awe na passport na imetiwa muhuri wa nchi 5 za ulaya kuendelea.

Awe na nguvu za kiume.

Gari kuanzia tano ndogo kabisa iwe Harrier.

Awe mkazi wa Mbezi beach,masaki ,oysterbay,masaki,ununio,mbweni,bahari beach na kigamboni.

Awe msafi na mtanashati nguo zake awe na designer kabisa.

Akubali kunioa kuanzia mwakani mwenzi wa kwanza?
Na wewe unachangia nini kwenye maendeleo ya huyo mwanamme? Kwa kifupi, unaleta nini kwenye maendeleo ndani ya huo uhusiano wenu? Umesoma, ni mvaa hijab tu, mbea, hunuki makwapa, papuchi na mdomo, na umalaya umeacha lini, umetoa mimba ngapi mpaka hivi sasa?
 
Ok. Ukiachana na SEX unakitu gani kingine cha kuoffer kwake?!
 
Mambozz.

Jamani natafuta mwanaume wa kunioa humu jf.

Awe na Hela kwenye Acc yake isome 900M na kuendelea.

Awe na passport na imetiwa muhuri wa nchi 5 za ulaya kuendelea.

Awe na nguvu za kiume.

Gari kuanzia tano ndogo kabisa iwe Harrier.

Awe mkazi wa Mbezi beach,masaki ,oysterbay,masaki,ununio,mbweni,bahari beach na kigamboni.

Awe msafi na mtanashati nguo zake awe na designer kabisa.

Akubali kunioa kuanzia mwakani mwenzi wa kwanza?
Wewe Una nini!?
 
Mambozz.

Jamani natafuta mwanaume wa kunioa humu jf.

Awe na Hela kwenye Acc yake isome 900M na kuendelea.

Awe na passport na imetiwa muhuri wa nchi 5 za ulaya kuendelea.

Awe na nguvu za kiume.

Gari kuanzia tano ndogo kabisa iwe Harrier.

Awe mkazi wa Mbezi Beach, Masaki , Oysterbay, Ununio, Mbweni, Bahari Beach na Kigamboni.

Awe msafi na mtanashati nguo zake awe na designer kabisa.

Akubali kunioa kuanzia mwakani mwenzi wa kwanza?
RE YOU SERIOUSLY CAM TO THE DM
 
Mambozz.

Jamani natafuta mwanaume wa kunioa humu jf.

Awe na Hela kwenye Acc yake isome 900M na kuendelea.

Awe na passport na imetiwa muhuri wa nchi 5 za ulaya kuendelea.

Awe na nguvu za kiume.

Gari kuanzia tano ndogo kabisa iwe Harrier.

Awe mkazi wa Mbezi Beach, Masaki , Oysterbay, Ununio, Mbweni, Bahari Beach na Kigamboni.

Awe msafi na mtanashati nguo zake awe na designer kabisa.

Akubali kunioa kuanzia mwakani mwenzi wa kwanza?
mkuu ushaolewa? kama bado tuwasiliane
naona na qualify kukuoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom