Siri yangu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2023
- 1,849
- 3,756
Njooo huku kitambaa cheupe utapata wa kukuachia gono tuMambozz.
Jamani natafuta mwanaume wa kunioa humu jf.
Awe na Hela kwenye Acc yake isome 900M na kuendelea.
Awe na passport na imetiwa muhuri wa nchi 5 za ulaya kuendelea.
Awe na nguvu za kiume.
Gari kuanzia tano ndogo kabisa iwe Harrier.
Awe mkazi wa Mbezi beach,masaki ,oysterbay,masaki,ununio,mbweni,bahari beach na kigamboni.
Awe msafi na mtanashati nguo zake awe na designer kabisa.
Akubali kunioa kuanzia mwakani mwenzi wa kwanza?
