Kaveli
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 5,458
- 8,961
Naitwa Janeth mpaka kufikia kuandika hapa nimechoshwa na mapenzi ya usaliti kwa wanaume.sasa natafuta mwenye mapenzi na kujenga maisha
Janeth John
Naitwa Janeth mpaka kufikia kuandika hapa nimechoshwa na mapenzi ya usaliti kwa wanaume.sasa natafuta mwenye mapenzi na kujenga maisha
nilipo kuwa kijana wimbo huu niliimbiwa sana na marafiki zangu,, '' mapenzi hayana dini'' ukweli ni kwamba mnapokuwa mnaanza kweli hakuna dini,, ila mnapotaka ku advance ili muishi pamoja ,, muunganishe familia ,, muoane ndo swala la dini linaingia hapo.... hapo ndo utajua kumbe baba na mama wapo... wengi huwa ignore hili then wanajuta baadae,,, wengi huushia kufunga ndoa za serekari wakasuswa makanisani na misikitini... shida unapozeeka na kutaka kumjua Mungu hapo ndo shida inapokuja ,, mke muislam wewe mkiristu... watoto wamegawanyika wengine wamemfuta mama wengine baba, inaluwa hujua nyumba umlete mchungaji au sheikh... it is indeed confusion,.... yote ya nini wakati kuna wa dini yako??
Haruna mdogo wangu acha kumdanganya msichana wa watu,,, ww muislam yeye Janeth.. kuna future kweli hapo au unataka kugonga tu
Kwa nini usiwe verified users sasa? maisha unajenga mwenyewe mwenzio anakukuta njiani, hahuhitaji mtu kujenga maisha yako.Naitwa Janeth mpaka kufikia kuandika hapa nimechoshwa na mapenzi ya usaliti kwa wanaume.sasa natafuta mwenye mapenzi na kujenga maisha
Haruna mdogo wangu acha kumdanganya msichana wa watu,,, ww muislam yeye Janeth.. kuna future kweli hapo au unataka kugonga tu
Naitwa Janeth mpaka kufikia kuandika hapa nimechoshwa na mapenzi ya usaliti kwa wanaume.sasa natafuta mwenye mapenzi na kujenga maisha
Huyu nahisi atakuwa mwembamba, pole mama ushatumika umechoka sasa unaona utulie, wanaume nao si mchezo ukijifanya pendapenda wanakuchakachua vya kutosha
Naitwa Janeth mpaka kufikia kuandika hapa nimechoshwa na mapenzi ya usaliti kwa wanaume.sasa natafuta mwenye mapenzi na kujenga maisha
Unamdiss bila sababu ukisoma post yake kaandika kwa hisia mno kuna uhalisia ndani yake. Kuwa mkweli kawa mwaminifu kajitoa lakini akakutana na mafisadi wa mapenzi
Kuna wimbo wa zamani sana unaoitwa DON FALL IN LOVE WITH A DREAMER
Kama hayajakukuta huwezi jua maana yake
Mapenzi ya usaliti ni yapi?
Aisee mpaka sasa sijakutana na post ya kumpa moyo dada yetu anayetafuta mutu ya kufanya naye maisha.
Jamani tupunguze kumponda sista wetu, au ndo mshamuwahi huko pm kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Cc kindungwa
Hahaaa, msaidie wewe mkuu, unaruhusiwa
.......unataka kuongea naye vizuri!¡!!?? Wewe ni mshauri nasaha!!! Au