Naitwa Janeth mpaka kufikia kuandika hapa nimechoshwa na mapenzi ya usaliti kwa wanaume.sasa natafuta mwenye mapenzi na kujenga maisha
Fanya hivi0784087614 nitakupenda kwa dhati
Na misimamo yao kuhusu pesa ndio inaondowa kabisa apetite ya kuwapenda kwa dhati.hakunaga mwanaume mwenye mapenzi ya dhati already.....mapenzi ya dhati yana jengwa au yanakuwa invoked from someone.....baada ya urafiki na kufahamiana na kushibana....wewe tafuta a boyfriend uanze step one
janeth kwanza pole kwa kumuumizwa mara nyingi kwenye mapenzi sasa naomba unitafute kwa 0755-255087 nataka kuongea na wewe vizuri.
hakunaga mwanaume mwenye mapenzi ya dhati already.....mapenzi ya dhati yana jengwa au yanakuwa invoked from someone.....baada ya urafiki na kufahamiana na kushibana....wewe tafuta a boyfriend uanze step one
Naitwa Janeth mpaka kufikia kuandika hapa nimechoshwa na mapenzi ya usaliti kwa wanaume.sasa natafuta mwenye mapenzi na kujenga maisha
Define mapenzi ya kweli......
janeth kwanza pole kwa kumuumizwa mara nyingi kwenye mapenzi sasa naomba unitafute kwa 0755-255087 nataka kuongea na wewe vizuri.
Haruna mdogo wangu acha kumdanganya msichana wa watu,,, ww muislam yeye Janeth.. kuna future kweli hapo au unataka kugonga tu
Hapa naomba nitofautiane nawe kama wakipendana hakuna kitakachowazuia mapenzi hayana kabila wala dini