Hakuna Wakili asiyejua Kazi yake, iko hivi swala la gharama linategemeana na Kazi husika, ukitaka kusaidiwa zaidi nanda LHRC hapo utapa msaada na utasaidiwa.
Kama hujapata niambie nikupe namba umtafute, Yuko Moshi mjini. Isijekuwa Ile issue yako ya mambo ya betting? Ha ha haaaa..mdogo wangu fanya kazi achana na betting.