Natafuta mwanamke wa kula nae bata

Natafuta mwanamke wa kula nae bata

Capslock

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2016
Posts
3,098
Reaction score
4,837
Natumai kila mwana JF ni mzima wa afya......

Katika kipindi hiki tunapoelekea kumaliza mwaka naamini kila mtu amejawa na furaha ya kutosha kulingana na kiwango chake.....

Hali ni tofauti kabisa kwangu, kwani sina furaha kabisa yaani, na nimejaribu kujiuliza ni kwanini nimekuwa katika hali hii nimegundua ni sababu ya kukosa kampani..........

Sasa nimeamua kutafuta kampani kutoka kwa mwanamke yeyote atakae kuwa tayari ili tuweze kula bata wote

Mwanamke yeyote alie tayari kuniakampani aje PM.....

NB: asiwe mke wa mtu
 
Ndo wapi huko mkuu?
✅Jolly ipo karibu na Hospital ya Aga Khan au Las Vegas Cassino.
✅Ambiance ipo Sinza Africa Sana.

WaPo watoto wazuri wa kula bata mfuko wako tu hadi wa kitasha /kiarabu.
 
ahsante Muanzisha thread hata mimi niko lonely mbaya?? ningepata Kampani tufungue mabox ya zawadi ingekuwa poa.
 
Back
Top Bottom