natafuta mwanamke tasa wa kuoa

natafuta mwanamke tasa wa kuoa

bigmukolo

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2012
Posts
602
Reaction score
2,241
natafuta mwanamke asiyezaa ili nimuoe umri kuanzia miaka 24 na kuendele.awe mnene.mwenye kuwa na taarifa ani pm.niko seriously
 
Kuna kibibi kimoja hivi kina miaka 39 au 40. Nadhani hakiwezi kuzaa.

Nikuunganishie?
 
Hivi jamani miaka 39 na 40 ni mzee! Duh
Hujui miaka hiyo ni mke wa mtu mbichi kabisa
 
Duuh ndugu unamatatizo ya akili .lkn unayo kutafuta mwanamke wa hiyo .kila heri mkuu
 
Hakuna mwanamke ama mwanaume tasa. Sayansi imeshindwa kuestablish sababu ya mimba kujishikiza kwenye ukuta wa kizazi. Kwa sababu hiyo kuna watu wameishi 10 yrs na wenza wao na wakaitwa tasa, wakakutana na wenza wengine na kupata watoto.

Kwa umri uliotaja sijui utahakikishaje huyo mwanamke ni tasa. Ukizingatia kuna watu wamepata ujauzito at 50 yrs of age.
 
Labda sababu zaidi nini ilikufanya uanzishe hii thread , waone wadada hawa wakuonye mke mwema laha 1,preta,kongosho, snow white, madame B, mrembo by nature, king'asti, watu8.
 
Labda sababu zaidi nini ilikufanya uanzishe hii thread , waone wadada hawa wakuonye mke mwema laha 1,preta,kongosho, snow white, madame B, mrembo by nature, king'asti, watu8.

Huyu anacheza na akili za warembo sisi.
Kwa hyo akinioa afu bahati mbaya nikakamata ujauzito ataniacha!
Maana 24 tasa?
Labda kama alitolewa kizazi.
 
ndugu una haki ya kutafuta mwanamke umtakaye! Lakini nahisi hujatenda haki kwa kutoweka maelezo yako binafsi kama kweli uko serious. Angalau mwambie huyo tasa unayemtaka kwamba wewe nawe pia ni tasa (pengine) au unao watoto umezaa na wanawake tofauti-tofauti, au unao watoto wa mama mmoja ila umeachana naye kwa sababu fulani-fulani, au ulikuwa umeoa mwenzio akatangulia mbele za haki, umri wako, n.k.

Hapo utaonesha unajua unachotafuta na hakika utampata humu humu wamo tu. Inawezekana hutaki tasa bali unataka asiyetaka kuzaa tena (yaani anao watoto/mtoto) na hana mume na anataka mume mwenye watoto wake tayari hataki mwanamke anayetaka mtoto.., fungukaaaa

MV
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom