Natafuta mwanamke mrembo

Natafuta mwanamke mrembo

natafuta demu wa kunipa mambo haya ,mimi nafanya kazi kwenye taasisi binafsi kama finance manager ila na wewe ukija uwe na kazi yoyote kifupi uwe unajishughulisha 34 age nipo dar
1.furaha
2.furaha
3.story
4.connection
5.ushauri wa maisha
HAYA utayapata Kwa wanaume wenzio hapo hapo job
 
yoyote lakini ambae hajaolewa
Wewe sema straight usipige kona kona nyingi sema unatafuta manzi wa kupunguzia upwiru, humu ni jukwaa huru utapata ukianza kupigapiga makonzi mengi utaambulia manyonya tu
 
Hajaandika hayo ndomaana tumesogea! Kwani leo mkuu unashida gani uko sawa kweli mkuu?
Kwanini umeuliza nina shida gani hapo sijaelewa vizuri? Soma maelezo yake angalia pale # 1&2 utaelewa jambo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom