Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,169
wabunge wanapenda sana miswaada. Hebu andika muswada wako kisha mpe yule mama wa kibena anayesema 'senkyo vele mache' ili aupitie, auhambue kisha awape na wamama wengine wausome.
Lakini hujasema kuwa watakupate? Atleast unge attach hata ka sanduku ka barua
Inaelekea wewe ndio uliandaa lile tangazo la fiesta ambalo yule mama anaweka hicho kibwagizo cha senkyo vele mache