Habar za jion wanajukwaa!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 ninaishi mwanza! Ninatafuta mwanamke mweny vigezo vifuatavyo
1:Anizid umri kama miaka mitatu na kuendelea
2:Awe mtanzania
3:Awe hajaolewa
Hii uzi una maana kubwa xna Kwangu kwahyo tafadhar wew mwanamke mweny sifa tajwa hapo juu usipite bila kuniPM