Natafuta mwanamke aliye tayari kuingia mkataba wa kunizalia watoto wawili

Huwajui wanawake wa bongo wewe , Mil. 10 zako atapokea watoto atakuzalia na baada ya hapo atakung'ang'ania kama ngozi katika mwili
Akishindwa kwa Sangoma basi hata ikulu atakwenda peku ili aonekane ameonewa,kachanganyikiwa au kachizika,na bunge Zima + nchi italipuka kumtetea Muulize Sugu atakwambia
Habari za masiku mkuu, nilikumiss sana jukwaa hili kwani watu wa uhalisia walipungu. Umenena kweli hata wengine tuliambiwa kuwa wao wanatafuta watoto, mtoto alipopatikana anataka kupindua big house!
 
Dunia imejaaa maajabu, huyu MTU atakuwa agent wa MTU fulani tena.mzungu kama sikosei. Imagine MTU anapenda kitu kimoja kwako? Akupe mimba tuu?

Uzi huu umenikumbusha tukio Fulani ndipo nilipogungua akili za wanaume wotee ni sawa.

Iko hivi kuna Shoga yangu yeye anapenda sana kuolewa na wazungu, ktk zunguka akampaka mzungu yupo tiyari kwa ndoa, dah ila akashindwa kitu kimoja.

Huyo mzungu alimwambia anapenda wanawake wa kiafrika lakini kwenye kitu Fulani bila hicho no ndoa. kizuri cha wazungu wako open. Sasa Shoga yangu hicho kitu hana, na tumeshibana, so tunasimuliana na anajua hicho kitu ninacho mm, samahani siwezi kamwe kusema hapa.

Basi Shoga kaja kwangu kanambia kama Niko tiyari basi ampe mawasiliano yangu. Sikuwa na time na mahusiano so nilimwambia siko tiyari.

Baada ya hill tukio niliwaza nini maana ya love?? Yaan MTU apende kitu kimoja kutoka kwako na sio vingine kweli hapo kuna upendo? Maana bila hicho hakuna upendo? Hii dunia haiko fair.
Nikawaza Huyu mwanaume hicho kitu atakipata kivip? Mbona sio common kivile? Hapo ndipo nilisema shikamoo nguvu ya pesa. Ana kiburi cha pesa kutamka eti yeye anataka kitu Fulani kisa pesa bila upendo kama mleta mada.

Coz nijuavyo MTU apende vyote ulivyonavyo, akiona kucha, mikono miguu, kichwa chako macho, ongea yako vyote avipende sio kupenda kupenda kiungo cha mwili and that's all. Dah ee Mungu.
Hakuna mwanaume anapenda kila ulichonacho.
Kipo kilichomvutia zaidi.
Umbo lako
Ucheshi
Heshima
Makalio
Shingo
Mguu
Lips
Nk
 
Wewe hujamwelewaa mleta mada,
Yeye hataki habari za love na maujinga mengine.

Yeye anataka watoto wawili umzalie akulipe basi.

Tena bora huyu kaja wazi, hivyo ni wewe kuamua.

Sasa unaanza kuleta stori hazina kichwa wala miguu sijui nini huko.

Ma single maza kibao almost 80% hawapewi hata kumi ya matunzo ya mtoto na kuolewa haolewi sembuse 10m??

Wabongo tuache longolongo.
Ndio hapo utawashangaa wanawake.
Mtu kaja na dili la kulipa hela na matunzo yote anatoa.
Bado wanalalamika kutaka kupendwa kila kiungo Chao.
Na wengine wameachiwa watoto na wahuni bila hata kumi na miili yao haikupendwa pia.
 
Hawa dada zetu ni furaha tosha.
Unafuatwa na mdada anakuambia anataka chata yako na mtoto atalea mwenyewe.
Kwao kuomba Hilo hakuna shida ila mwanaume kutaka watoto kwao awalee mwenyewe kinaonekana kituko.

Tena wao akishapata mimba anaanza kukusumbua mpaka utakoma.
Wakati huo alikuomba na kulia kabisa
 
Kuzaa its all risk... With all complications of lobour and delivery...then to give away my childrens for... for 10m??. Wonders shall never end.
 
Ndio hapo utawashangaa wanawake.
Mtu kaja na dili la kulipa hela na matunzo yote anatoa.
Bado wanalalamika kutaka kupendwa kila kiungo Chao.
Na wengine wameachiwa watoto na wahuni bila hata kumi na miili yao haikupendwa pia.
What is 10m by the way...kwamba unauza watoto wawili for that amount..Ni bora huyo single mother anamwona mwanae...
 
What is 10m by the way...kwamba unauza watoto wawili for that amount..Ni bora huyo single mother anamwona mwanae...
Amekuambia atawatunza.
Means wakifikia umri mkubwa ndio anaweza kuchagua kuishi nao.
Yeye hataki kuishi na mwanamke.
Labda hapendi usumbufu.
 
Sasa watoto wawili wanapatikanaje mapacha? Na hyo 10 unatoa ndo ummimbe au unammimba kwanza zen 10 inafuata?
 
kweli hela tamu ila kuuza mtoto sio jambo dogo kama ulivyo maanisha kwa wanawake walio ingia labor watanielewa
 
Kwa nchi zilizoendelea hiyo ni biashara halali kabisa. Kuna watu wanaitwa surrogate mothers ndio wanafanyana hiyo biashara, mfano mzuri ni watoto mapacha wa Christian Ronaldo aliwapata kwa njia hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom