Natafuta mwalimu Wa kijerumani

Samahani naomba nikushauri kitu..kabla hujaamua kufundishwa kijerumani unionaje ukifundishwa kiswahili na sarufi zake?? nikiwa na maana ya kuwa kukiandika!.. ili ukiingiza nondo za kijerumani usichapie chapie km hivyo uloivyoandika๐Ÿ˜๐Ÿ˜! maana km neno German nahis utaandika Gelman!๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š
 
Jamani na mm kama kuna mtu anayependa kufundishwa kirumi..aniambie๐Ÿ˜Š... hesabu zote za kirumi nitamfundisha..kuandika 1_1000kwa kirumi nitahakikisha anakwiva!karibuni tuunge juhudi za mheshimiwa Raisi.. nakuhakikishia ndani ya jan kati kati lazma utembee kifua mbere kwa kuzisoma na kuziimba๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š!"KALIBUNI"
 
Hahahaaa umeona eeh ""aina shida""[emoji3]
 
Kwa ushauri huu tu ulipaswa ulipwe๐Ÿ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ