Natafuta mwalimu. mzuri

Son of King

New Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
4
Reaction score
1
Natafuta Mwl ambaye anaweza kufanya Kazi siku za Jumamosi tu kuanzia saa tatu hadi saa sita mchana. Na awe na uwezo wa ku solve maswali ya mtihani wa NECTA form four.

Tuma CV yako kwenye Email hii;
donsonofking@gmail.com

Note:
1.. Orodhesha masomo gani unaweza kufundisha.
2. Andika pia kwa lisaa limoja unataka ulipwe kiasi gani.
 
Upo wap!
 
 
weka maelezo ya kutosha, siku ya jumamosi ni sehemu gani na je kipaumbele cha masomo unayohotaji hasa ni yapi?
 
utapeli at work kwa kuwa ajira za walimu mpaka sasa haziweleweki unataka kutumia fursa. ila sio mbaya maana siku hizi wanakamata wacheza pooltable.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…