Natafuta muuza duka

MALAMSSHA

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
448
Reaction score
158
Ninahitaji muuza duka la vitu vidogo vidogo.

Sifa na masharti:
atalala kwangu
Awe msichana kutoka Rombo .Asihofu nina mke na watoto.
kuanza kazi saa 2 asubuhi mpaka saa 3 usiku
Jumapili kuanzia saa sita mchana mpaka saa tatu.Jumapili moja kwa mwezi atapumzika.
Mshahara kati ya 50,000 na 70,000
Aliye serious atume message kazi kwenda 0755 489 473
 
Mkuu DUKA liko sehemu gani
 
70000? Ahahaha me natafuta wa kuniuzia duka la nguo za kike nina wiki ya tatu na mshahara wangu ni 130-150 na sijapata ndg ukipata nitonye
Kwa mshahara huo pa kulala ni juu yake?
 
kuna ulinzi? mana panyaroad hawakawii
 
Awe anatoka Rombo? maana yake unakusudia mwanamke wa rombo? halafu unasema una mke na watoto, kazi kuuza duka! hahahahaha! haya kila la heri mkuu!
 
Mh! Ulishajua kwamba wanaume wa Rombo hawana "nguvu" za kulenga shabaha
 
Sinza mugabe/yap nahitaj mtu anayeishi kwao maana anayejitegmea atanifilisi maana ntakuwa namuonea huruma hela haitoshi na kumpa viposho na hiyo itanifilisi
ongea na mimi ninamdogo wangu ambaye naamini anaweza akakusaidia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…